Mikusanyiko ya Makumbusho ya Misri mjini Kairo (Sehemu ya Pili)

Mikusanyiko ya Makumbusho ya Misri mjini Kairo (Sehemu ya Pili)

Tunaendelea maonesho ya Vitu vya Kale vinavyopatikana na Makumbusho ya Kimisri jijini Kairo, Ghorofa ya Kwanza:

Hatshepsut

Hatshepsut inamaanisha "mwanamke mtukufu" 
Alikuwa farao wa kwanza wa kike wa KEMET,alikuwa na utawala wa mrefu zaidi  ambapo alitawala mnamo kipindi kati ya 1479:1458 wakati wa enzi ya kumi na nne yaani alitawala  kwa muda zaidi ya miaka ishrini.


Hatshepsut alikuwa mtoto pekee aliyezaliwa kwa mfalme Thutmose wa kwanza kabla ya mke wake mkuu , baada ya kifo cha baba yake katika umri kumi na mbili , aliolewa na kaka yake wa kambo  Thuhtmose wa mbili mnamo 1615  aliyetawala kwa miaka kumi na tano  baada ya kifo cha thuhtmose  kiti cha enzi kilikuwa na thuhtmose wa tatu ni mwana wa ndugu na mume wa Hatshepsut kwani hakumzaa na Thutmose wa mbili mume. Na kwa kuwa  thutmose wa tatu alikuwa mtoto na hakuwezi kutawala kemit,Hatshepsut alikuwa na  udhibiti  juu yake kwa muda wa miak mitatu mpaka alijitangaza kuwa farao.


Sanamu ya Mungu Khonsu

khonsu alikuwa mungu wa mwezi na neno ya Khonsu linatokea na kitenzi "hns" kinamaanisha kusafiri au kukimbia.
Moja ya jina lake mtume wa Mungu kwani anasafiri kuzunguka anga, kwa hivyo anahamisha ujumbe kutoka mungu hadi mwingine. Kituo kikuu cha ibada yake katika Thebes.

Maelezo ya sanamu:alikuwa katika nafasi ya mummy au nafasi ya Osirian.
Maelezo yake yanaonekana kitoto, ingawa mungu khonsu anamithilisha mummy, lakini mchongaji alikuwa na ufundi katika kumithilisha maelezo ya uso na misuli haswa magoti  alivaa kofia  ya fuvu sawa na iliyovaliwa mungu wa Ptah, Mungu wa memphis ambapo anamithilisha amevaa mtukufu wenye  tabaka kadhaa unaishia kharazi ili kuongeza sauti  katika nyuma ya sanamu kuna nguzo  inayotumika kuunga mkono sanamu.


Sanamu ya Ramsis wa pili  alipokuwa mtoto na Mungu Horus

Sanamu hii inamathilisha Ramsis2 alipokuwa mtoto alikaa mbele mungu wa jua wa kanaani Horus aliyekuwa na umbo la falcon.
Sanamu hiyo inatolewa  kwa mtoto wa Misri aliye uchi  kwa namna ya kwaida,kidole chake mdomoni,diski ya jua juu ya kichwa chake na alishikilia mmea katika mkono wake wa kushoto uso ya falcon ipatikana katika eneo tofauti mbali na sehemu.


Sanamu ya Hathor akimlinda  mfalme wa pasmtik

Sanamu  hiyo imetangazwa na schist ya fuwele ambayo  inaonyesha pasmtik amesimama katika nafasi ya maombi,pia kuna muhuri unaonyesha kazi yake kama mwenyekiti wa waandishi ulikuwa shingoni,amesimama chini ya picha ya nģombi anayemithilisha mungu wa Hathor,na mungu wa Hathor tulivyotaja  katika sehemu ya kwanza alikuwa Mungu wa upendo na muziki na umam.
Hapa Hathor amevaataji yake ya kwaida kwa diski ya jua na maayoya mawili  marefu yanaingizwa kati ya pembe zake.


Sanamu ya Ramsis wa tatu na Horus na Set

Kikundi hiki kinamathilisha mfalme Ramsis 3 na Mungu Horus na Set na wote wamesimama kwa urefu sawa,Ramses 3 amevaa taji nyeupe ya Misri ya juu na nyoku ya kifalme katika mbele na safu kadhaa,shenditi yenye  mshipi mrefu  ipo chini, mfalme amebeba ishara ya ankh ya maisha katika mkono wa kulia na na fimbo ya utawala  katika mkono ya kushoto  na mguu wake wa kushoto ulikuwa mbele kama kawaida.
Kuhusu Huros na Set walikuwa katika nafasi sawa,mguu wa kushoto mbele kila mmoja ameshikilia ankh na amevalia vazi la ngozi  la Misri na shenditi.

Akhenaten 

Akhenaten aliitwa farao kafiri,chanzo cha kuvutia na kupendeza mara kwa mara.
Akhenaten ni Amenhotep 4 alisisitiza kwa kuwa mfalme wa kipekee kati ya watawala wote wa misri ambapo alianza kipindi kipya kinachojulikana kipindi cha Amarna.

Umuhimu wa mfalme hautokana na mafanikio yake lakini umuhimu na umaarufu wake kutokana na ibada ya mpya aliyeanzisha, yeye ni farao ya kwanza aliytoa mwito kwa ibada ya mungu mmoja ni Aten Mungu wa Jua, mfalme alifaulu kufanya Atenmungu ya pekee katika umbo la  diski ya jua  inatoa miwale ya jua  kila mwale wa mkono unaenea kwa familia ya kifalme si hivyo tu bali aliwatuma wachoraji na ili kufuta majina ya mungu mwingine kutoka kuta za mahekalu, pia aliona kwamba ibada hiyo inahitaji eneo pya halichafuliwa kwa njia za kawaida kwa ibada ya Amun, kulingana na hiyo alichagua mji katikati mwa misri na ukingo wa magharibi wa mto wa Nile na ameuita "Akhet Aten" unaojulikana leo kama "Tall el Amran".
Kwa hivyo akibadilisha jina lake kwa Akhenaten kuheshimu Mungu mpya,Akhenaten alioa malkia Nefertiti na alikuwa na binti sita na kwa kawaida alikuwa na wake wengine pamoja na Kia ambaye alimzaa mrithi kwa jina la Tutankhamun.
Wanawake wa ufalme  walikuwa na jukumu muhimu  katika sanaa kupitia kipindi cha utawala haswa,Nefertiti alifichua kutoka daftari ya historia baada ya miaka 12 kutoka kipindi hiki, ili kutokana tena picha ya ajabu karibu ya mwisho wa utawala wa Akhenaten.

Akhenaten alifariki baada ya  kutawala Misri miaka 17.


Itikadi ya Aten

baada ya mfalme  wa Akhenaten  alikata kumithilisha Mungu wa Aten katika umbo la sanamu au thaluth ,aliamua kuimathilisha katika umbo la diski ya jua ambayo miale yake inaushia mikononi mwa binadamu iliyobeba ishara ya ankh na ishara ya fimbo.
Mfalme alidhana kwanmba mungu Aten hakuwa mungu wa wamisri,bali kwa viumbe vyote katika ulimwengu.
Mahekalu ya Aten yalikuwa kufanana mahekalu ya jua ya enzi ya tano yalikuwa kufungua kwa ajili kufurahia manufaaya jua bila paa yoyote n madhabahu yamejaa  kwa maua na matoleo.
Msingi wa Atonism:ibada ya Atonism ilikuwa na misingi kadhaa ni,
Kwamba Mungu Aten alijiumba mwenyewe,alichukuliwa chanzo cha uhai  na kukusanya  wanaume na wanawake katika kupenda mmoja Aten.

Aten sio Kipande cha Jua lakini alikuwa  nguvu iliyofichuwa katika kipande hicho, kwa hivyo hakumathilishwa katika umbo la binadamu au la mnyama.

Hakuwa na hekalu wala mahala maalumu pa kuabudia, lakini unaweza kumtolea mahali popote na katika  wakati wowote.
Hakuwa na ukahuni na uhusiano kati ya Mungu na watu tu alikuwa Akhenaten mwenyewe na hii inachukuliwa kuwa hatua dhaifu zaidi katika Atonism  kwa sababu baada ya kifo cha Akhenaten ibada zote za Aten ziliharibu.

Nefertiti

 

Nefertiti ni mmoja wa wanawake maarufu zaidi katika ulimwengu wa kale, ishara ya uzuri wa kike
 Jina la Nefertiti linamaanisha "Mrembo wa baadaye", yeye sio wa asili ya kifalme, watafiti walisema kwamba alikuwa mmoja wa kifalme cha Mitannian, na wengine wanapendekeza kwamba alikuwa binti wa familia kutoka Thebes, lakini inakubaliwa kuwa yeye alitokana na familia muhimu ya kimisri, yenye asili ya kifahari, na kwamba alijulikana kwa uzuri wake.

 Aliolewa na Akhenaten, labda akiwa na umri wa miaka 17 au 18, na akamzaa binti zake sita. 

Nefertiti alielezewa katika moja ya picha hizo kuwa ni bibi wa furaha na upendo, anayependeza moyo wa Mungu wa Misri ya Juu na ya Chini, ambaye hufurahi wakati watu wanaposikia sauti yake, alichukuliwa kuwa ishara ya uzuri huko Misri na uzuri wake ukawa hadithi kati ya vizazi vilivyofuata.
Baadhi ya ugomvi ulitokea kati yake na mume wake, Akhenaten, hivyo Nefertiti alitoweka takriban miaka 12 katika utawala wa Akhenaten. 
Sanamu yake lina urefu wa cm 47, ina uzito wa kilo 20, imetengenezwa kwa chokaa, rangi na safu ya plasta, mboni ya jicho la kulia imefunikwa na quartz nyeusi, na imewekwa na nta, wakati nyuma ya jicho imefanywa ya chokaa, na Nefertiti huvaa taji ya kipekee ya rangi ya bluu, kwenye paji la uso wake ni nyoka wa kobra, ambaye sasa amevunjika, pamoja na mkufu mpana uliochongwa kwa maua, na masikio pia yamepata uharibifu fulani.
Malkia Nefertiti alikuwa maarufu kwa taji yake ya bluu, na wakati macho yanafuatiliwa kwenye mistari myeusi, tunaona kutokuwepo kwa ukamilifu machoni, ambayo hufanya macho kuwa na ubora wa ajabu na wa mbali, na pia inatupa hisia kwamba mtu huyo amepotea kabisa katika mawazo. 
Pia, uso wake wa mviringo unaonesha maelezo maridadi kwamba ana mifupa ya shavu ya juu, mdomo mzuri, na pua maridadi. 

Akhenaten akiwabusu binti zake

Ushindi wa uchoraji wa Mfalme Merneptah

Ni sura iliyotengenezwa kwa granite ya kijivu, iliyogunduliwa huko Thebes, katika jumba la kwanza la nyumba ya maiti ya Mfalme Merneptah, na Bw. Flinders Petrie, na ilianza nyuma hadi nasaba ya 18 wakati wa utawala wa Merneptah.

Kuhusu Mfalme Merneptah, yeye ni mwana wa 13  wa Mfalme Ramses II, na alikuwa na umri wa karibu miaka 60 aliposhika  kiti cha enzi cha Misri, na alitawala kwa kipindi cha miaka 8 hadi 10, na licha ya uzee wake, alifikia mafanikio mengi ya kijeshi, na aliongoza jeshi hadi Syria, ambako yalikuwa Mapinduzi baada ya kifo cha baba yake, pia aliongoza kampeni dhidi ya Walibya kutoka Magharibi, na kufanikiwa kuwashinda na kutangaza kuwa Misri bado ina nguvu na hakuna mtu anayeweza ipite.

Alijenga hekalu lililowekwa wakfu kwa Mungu Ptah huko Memfisi, akajenga nyumba ya kuhifadhia maiti huko Thebes, na kujenga kaburi la kifalme katika Bonde la Wafalme.

Ama kuhusu mchoro huo, unaelezea kusherehekea ushindi wake katika mwaka wa tano dhidi ya watu wa Libya, na mchoro huo uliwekwa katika ukumbi wa kwanza wa hekalu lake la kuhifadhi maiti huko Thebes.

Vyanzo

egyptian museum.

Egymonuments.gov.com.

Kitabu cha Mwongozo wa Kiutalii wa Dhahabu kutoka 261 hadi 292.