Siku ya Uhuru wa Mauritania

Siku ya Uhuru wa Mauritania

Imetafsiriwa na/ Naira Abdelaziz 
Imehaririwa na/ Nourhan Khaled

Mauritania inaadhimisha siku ya uhuru wake Novemba 28 kila mwaka. Jamhuri ya Kiislamu ya Mauritania ilijitenga rasmi na ukoloni wa Kifaransa tarehe 28 Novemba, 1960, na Moktar Ould Daddah akawa Rais wa kwanza wa Jamhuri hiyo.

Siku hii  kila mwaka intangazwa kuwa likizo rasmi nchini, ambapo inakaribishwa kwa sherehe na maonesho ya kijeshi makubwa ili kuwa tukio ambalo viongozi wana nia ya  huchukua hatua za kuandaa na kuisherehekea kila mwaka katika mji tofauti.


Mratibu wa lugha ya kiswahili/ Tasneem Hamdy