Ronald Edward.. Mshawishi Mkubwa aliyeokoa Uganda

Ronald Edward.. Mshawishi Mkubwa aliyeokoa Uganda

Imefasiriwa na / Fatma Mahmoud

Ronald Edward ni nani?

Ronald Edward Frederick Kimera Mwenda Mutebi amezaliwa mnamo  Aprili 14, mwaka  1955. Alisoma  kwenye Shule ya Bodo Junior huko Sussex na Chuo cha Bradfield  kisha akajiunga kwenye Kitivo cha Magdalene huko Cambridge. Pia ameshawahi kuwa Mhariri Mshiriki wa Jarida la Pan-African Concord na akawa mjumbe wa Kamati Tendaji katika  kongamano la taifa la Afrika  (ANC) huko London. Baadaye akawa chifu wa ukoo na kiongozi wa kiutamaduni kwa Waganda milioni 7.5 wakati wa kurejeshwa kwa falme za Uganda na baada ya hivyo akawa  Mdhibiti wa Ufalme wa Buganda baada ya kifo cha babake mnamo Novemba 21, 1969.

  familia yake

Amemwoa Bi. Silvia Nganda - ambaye mwana  wa  John Mulumba, mwanachama kwenye  ukoo wa Omos -  hayo mwakani 1999.  pia Ana watoto watano  (Safio Mwenda, Joan Nasulu, Victoria Nkenzi, Katrina Sarah na Richard Simakukrero).

 mafanikio yake

Aliteuliwa kuwa mshauri wa kwanza wa Chuo Kikuu cha Kifalme cha Mutesa   mnamo  Aprili 15, 2011. Chuo kikuu hicho kilianzishwa kwa kumbukumbu ya Mutesa wa kwanza  wa Buganda, hivyo kwa mujibu wa  juhudi zake katika kuendeleza elimu nchini Uganda na ujuzi wake wa kipekee  wa kidiplomasia katika kuwasiliana na Waingereza,  wahusika wa Wafaransa na Waarabu mwishoni mwa karne ya 19.

anazingatiwa pia ni balozi wa kutokomeza UKIMWI kati  ya wanaume katika mashariki na kusini mwa Afrika akizingatia  haswa Ufalme wa Buganda nchini Uganda. vilevile , alihimiza watu kupambana  na UKIMWI  hayo wakati wa kusherehekea  siku  yake ya  kuzaliwa  ya miaka 68   kwenye kasri yake   huko Mingo,  hivyo  chini  ya kaulimbiu: "Jitihada za kutokomeza VVU/UKIMWI ifikapo mwaka  2030."

Buganda wakati wa utawala wake imepata nafuu kutoka misukosuko iliyokuwa imeikumba ufalme huo,  pamoja na kutukia maendeleo mapya ambapo   Kabaka Mutep  ameanzisha taasisi  ambayo  ni, baraza  inahusisha kwa Ardhi   katika Buganda, ili  kusimamia ardhi na mali zinazorejeshwa kulingana na Sheria ya Urejeshaji Mali  na miliki mnamo mwaka 1993. Kwa kweli, taasisi  hiyo imechangia kusitisha  mizozo juu ya ardhi hizo, na kutoa hati  za miliki za ardhi kwa wahodhi wengi wa zamani.

Kwa ufupi, Ronald Edward  anazingatiwa ni mhusika  wa kipekee nchini Uganda ambaye ana mchango mkubwa katika kuwaunganisha Waganda na kuendeleza nchi hiyo.