Mshikamano wa Afro-Asia.. Historia ya pamoja ya mapambano kwenye ratiba ya shughuli za siku ya pili ya Udhamini wa Nasser

Mshikamano wa Afro-Asia.. Historia ya pamoja ya mapambano kwenye ratiba ya shughuli za siku ya pili ya Udhamini wa Nasser
Mshikamano wa Afro-Asia.. Historia ya pamoja ya mapambano kwenye ratiba ya shughuli za siku ya pili ya Udhamini wa Nasser
Mshikamano wa Afro-Asia.. Historia ya pamoja ya mapambano kwenye ratiba ya shughuli za siku ya pili ya Udhamini wa Nasser
Mshikamano wa Afro-Asia.. Historia ya pamoja ya mapambano kwenye ratiba ya shughuli za siku ya pili ya Udhamini wa Nasser

Shughuli za siku ya pili ya shughuli za Udhamini wa Nasser  wa Uongozi  wa Kimataifa zilihitimishwa kwa kikao cha mazungumzo kwa kauli mbiu  " Mshikamano wa Afro-Asia  " ... Historia ya Mapambano ya Pamoja" ambapo Dkt Helmy Al-Hadidi, Waziri wa Afya  wa zamani na Mkuu wa  Shirika la  Mshikamano  wa raia wa Afro-Asia alizungumza kwenye kikao hicho .

Dkt.Helmy Al-Hadidi alizungumzia historia na sababu za chipuko la Shirika ya Mshikamano wa raia wa Afro-Asia na sekta wa kazi yake , akionesha viongozi wake wa zamani na lile  lililojumuisha   orodha yake  kuhusu mpangilio wa kazi ndani yake vyeo vyake.  akiashiria kwamba hapo awali iliundwa kuwa msaidizi maarufu wa nchi zisizofungamana kwa upande wowote, lakini jukumu lake lilipanuka  kwa wakati na kushuhudia maendeleo makubwa na nyanja za  kazi  zaidi na mwitikio chanya pamoja na mabadiliko ya kimataifa kwa kuzingatia matukio tuliyoshuhudia  hadi tunayapitia sasa hivi ambapo ni awamu ya kubadilisha mbinu,lakini hatimaye  misingi ambayo ziliitegemea  ilibaki kama ilivyo na haitabadilika.

Al-Hadidi aliashiria kuwa Bara la Afrika lilikumba na dhuluma nyingi hali iliyoipelekea  kukabiliana  na matatizo mengi miongoni mwake ni umaskini na maradhi kuliko eneo lolote jingine  na akiongeza kuwa sasa anahisi  kwamba kuna mwamko wa kiafrika na mafanikio makubwa ambapo tunakuta  nchi zenye uchumi imara  na nchi   nyingine ambazo zenye  elimu nzuri, na nchi zenye huduma za afya za kuridhika, vilevile , El Hadidy alielezea kuwa kuna nafasi kubwa kwa Umoja wa Afrika na kwa Afrika kujiboresha  na kufidia yote yaliyopotezwa , na kwamba Misri imetoa mengi kwa Shirika la Mshikamano wa Watu wa Afro-Asia kwa miaka mingi ambapo Marais wa zamani wa Misri na rais wake wa sasa wanaliunga mkono Shirika hilo , wanalihimiza na kulitaka itimize jukumu lake,  ambapo mahusiano kati  ya serikali ya  Misri na Shirika yakikuwa yenye nguvu , kazi  ya Shirikatakuwa yenye maendeleo , Kiwango bora na  shughuli zaidi.

 Mkuu wa  Shirika la Mshikamano wa Watu wa Afro-Asia mwishoni mwa hotuba yake ,  alipeleka ujumbe kwa vijana wanaoshiriki katika  Udhamini na kuwaambia, " Enye Vijana wa mabara matatu, elimu iwe njia yenu kwani elimu na fedha hujenga mali za watu ambapo hakuna Udhibiti unajengwa  kwa ujinga..  raia na nchi hazitaendelea isipokuwa kwa elimu ambapo kupitia Ushirikiano na kuhamishia maarifa kutoka nchi moja hadi nyingine, kutoka kwa mtu mmoja hadi mwingine  , na kutoka kundi moja hadi jingine  tunafikia Maendeleo .. . Utoaji kwa aina na sura zake mbalimbali  ikiwa kimaada au  kimaadili ni muhimu lakini utoaji wa upendo ulio  baina ya roho  , baina ya watu na baina ya jamii ni mojawapo ya silaha zenye nguvu zinazounganisha na zisizotenganisha .. Ikiwa nimejaliwa  kukutana nanyi tena , Natamani kwamba Umoja wa Afrika, Asia na Amerika Kusini umeanzishwa na kwamba maonyesho ya upendo yaonekane kwa wote, na Shirika litakuwa na kamati katika kila nchi  ili kueneza Mshikamano, Upendo na  Uvumilivu ” ,  vilevile , mwishoni kikao kimeshuhudia  Dkt  " Helmy El- Hadi "  aliheshimiwa na Udhamini wa Nasser wa Uongozi wa Kimataifa na hivyo  kwa kuthamini juhudi na mafanikio yake wakati wa kazi yake ndefu na uungaji mkono wake ili    watu wa Kusini mwa watu washikamane