Udhamini wa Nasser kwa Uongozi wa Kimataifa wasimulia Dunia nzima Mafanikio ya Jeshi la Wanamaji la Misri katika kusherehekea kumbukumbu yake ya miaka 54

Udhamini wa Nasser kwa Uongozi wa Kimataifa wasimulia Dunia nzima Mafanikio ya Jeshi la Wanamaji la Misri katika kusherehekea kumbukumbu yake ya miaka 54
Udhamini wa Nasser kwa Uongozi wa Kimataifa wasimulia Dunia nzima Mafanikio ya Jeshi la Wanamaji la Misri katika kusherehekea kumbukumbu yake ya miaka 54
Udhamini wa Nasser kwa Uongozi wa Kimataifa wasimulia Dunia nzima Mafanikio ya Jeshi la Wanamaji la Misri katika kusherehekea kumbukumbu yake ya miaka 54

Mnamo Juni 2021,Wajumbe wa Udhamini wa Nasser kwa Uongozi wa Kimataifa  walitembelea sehemu ya Raas Al Tin , makao makuu ya uongozi  wa  vikosi vya bahari huko Aleskandaria, ambayo yenye  nguvu zaidi  katika Mashariki ya Kati na Barani Afrika, pia inashika nafasi ya saba  Duniani  katika  idadi ya meli , na inazingatiwa moja ya sehemu  kale  na ukubwa wa  silaha za baharini Duniani, iko kaskazini mbali mwa mji wa Aleskandaria,pia ni mmoja wa mitaa  muhimu zaidi  na wa Historia maarufu,  na  ziara imekuwa  rasmi na imeelezea historia ya mtaa huo na historia ya jeshi la  kibahari ya  Misri  na vita vigumu vyake tangu  miongo kadha  iliyopita.

 Ziara hiyo ilianza kwa mapokezi mem ya makamanda wa kituo cha jeshi la bahari  huko Aleskandaria, na wakiwakarimu na kuwakaribisha wageni wa Misri walioshiriki katika Udhamini kutoka nchi 53 kutoka  mabara matatu ya Asia, Afrika na Amerika ya Kusini, ukijumuisha viongozi vijana 120, wakati ambapo walitazama filamu ya maandalizi  ya juu ya mafanikio ya Jeshi la bahari  na silaha za kisasa zilizopatikana hivi karibuni , Na mazoezi ya pamoja kati ya Misri na nchi nyingi  za ulimwengu, na filamu hiyo ikiitwa: "Jeshi la bahari ya Misri   Mashujaa na Mafanikio"

Ikielezea historia ndefu ya mapambano ya wanajeshi  wetu washupavu, vikosi vyetu vya kijeshi na jeshi letu la kibahari , na ushindi na ushujaa walioupata katika historia  pamoja na mapitio ya maendeleo  ya jeshi letu la kibahari kiufundi na kiteknolojia hadi sasa.

Ziara hiyo pia ilikuja katika kuangazia jukumu la kitaifa la serikali ya Misri na jeshi la bahari katika kuandaa wadau , pamoja na bidii yake ya kila wakati ya kujenga na kukuza uwezo wake wa kisayansi na kiteknolojia kulingana na mikakati sahihi na kwa msaada wa uwezo  wa kibinafsi kupitia kwa kuandaa wadau wenye   uwezo wa kibindamu na wenye  uvumbuzi, maendeleo, ubunifu, kushughulika na vifaa vya kisasa na mwelekeo wa maendeleo kuelekea kukuza uwezo wa mapigano wa silaha na vifaa, kwa namna inayohakikisha uwezo wa kufikia ubora na mafanikio  na usawa  na teknolojia ya silaha za kimataifa, na kwa namna ambayo huongeza usalama wa baharini na kutimiza mahitaji ya kupata ulinzi wa kutosha  na kulinda nguzo za usalama wa taifa la Misri na utulivu katika eneo hilo.

 Leo, tarehe  Oktoba 21, Vikosi vya Jeshi vinasherehekea kumbukumbu ya miaka hamsini na mbili (52) ya Jeshi la bahari  kwa ajili ya  kumbukumbu kuu na kazi ya kishujaa iliyofanywa na wanajeshi  wa Jeshi la bahari ya  Misri. ambapo vikosi wa bahari wamisri walitekeleza wajibu wao kwa kuonyesha uwepo wa meli iliyo hatari zaidi wakati huo inayoitwa Eilat , inatembea baharini kwenye maji ya taifa la Misri ili kuonesha nguvu yake bila haki  , na mara moja  viongozi wa Misri wa kisiasa  wakashika  na  wakachukua fursa hiyo na wakatoa maagizo ambayo askari wetu shujaa walikuwa wakingojea kila wakati  kwa kutekeleza  shambulio la uharibifu Eilat, na ilishazamishwa mnamo Oktoba 21, 1967 wiki kadhaa baada ya  vita vya 1967  operesheni hiyo ya kishujaa liyochangia kurejesha Imani ya Wamisri kwa vikosi  wao wa kijeshi na uwezo wao katika muda mfupi, na vitendo vingi vya kishujaa vilifuata wakati wa vita vya Dunia na vita vya Oktoba, ambayo ilibadilisha mitazamo na mikakati ya vita  vya majini vya kisasa.

 Ikumbukwe kwamba Udhamini wa  Nasser kwa Uongozi wa Kimataifa, ukiwa na Ufadhili wa Mheshimiwa Rais Abd El Fatah El-Sisi, unalenga kuhamisha jaribio  la Misri  katika  kujenga taasisi za kitaifa, na kuunganisha viongozi vijana wenye ushawishi mkubwa zaidi katika mabara  matatu (Afrika - Asia - Amerika ya Kusini) na kuwaunga mkono kupitia mafunzo, ujuzi muhimu na maoni ya mikakati na  mara yake ya pili ilichukua kauli mbiu Ushirikiano wa Kusini  ikiwa ni rejeleo; kukuza Ushirikiano wa Maendeleo kati ya nchi za Kusini katika nyanja za  kisiasa au kiuchumi au kijamii au kiutamaduni au kimazingira au kiufundi, pamoja na kubadilishana maarifa, ujuzi,  uwezo wa kielimu ,masuluhisho na teknolojia, ambayo ni uwanja  wa  mshikamano kati ya wananchi  na nchi za Kusini, inayochangia kufikia ustawi wa kitaifa  na kujitegemea kikamilifu.