Mohamed Wardi.. Misri iwe huru daima na Sudan

kufuatilia habari zote ulimwenguni , kwa kadiri nilivyoweza, ni mojawapo ya tabia zangu muhimu sana tangu utotoni na hazijaisha kwa mapitio ya umri ,bali imekuwa yenye kina na uchambuzi zaidi pamoja na imekuwa tofauti katika nyanja na upande wa kijiografia.. Leo, ninapofanya kawaida yangu ya kila siku kuangalia habari, nimepata habari ya kutangazia Serikali ya Sudan, ikiwakilishwa na Baraza la Mpito linaloongozwa na Jenerali Al-Burhan, kuwa 2022 kama mwaka wa kiutamaduni kwa kumheshimu mwimbaji marehemu wa Sudan "Mohamed Wardi." wakati umesitisha kitambo , kabla ya wakati kunichukua zamani kama miaka thelathini iliyopita, nilikuta kipindi cha utoto wangu ambacho nilikiishi tangu siku ya kuzaliwa katika mji mkuu wa Sudan hadi kipindi cha shule ya upili, kurudi kufikiri siku hizi kulikuwa kuzuri ambazo zilishuhudia mwanzo ya utoto na athari za malezi, na kurudi kulikuwa na furaha na thamani kama siku hizo, nilipojifunza kuwa nchi ni kubwa, na kwamba ushirikiano kati yao ni lengo kubwa mno..
Wakati nyumba ya babu yangu kutoka upande wa mama yangu - Mwenyezi Mungu amrehemu - katikati ya Khartoum ilikuwa ikishuhudia mikutano ya Jumuiya ya Misri, Jumuiya za Kiarabu na jumbe za kidiplomasia na majadiliano yalikuwa yenye masuala ya kina, mpana wa upeo, yenye athari inayoendelea bila ya mabishano, upumbavu, au uvunjaji wa mipaka, yenye tamaduni mbalimbali, ustaarabu unaopatana.. hakuna usaliti, kashfa, wala msimamo mkali, au udanganyifu. Nilipokuwa nikiimba kila asubuhi katika uwanja wa Shule ya Kiinjili ya Misri huko Sudan, na wenzangu kutoka Sudan, Iraki, Ufalme wa Oman na Palestina, pamoja na baadhi ya mataifa ya Ulaya wanaimba, “ Misri idumu huru na Sudan.. idumu nchi ya Bonde la Mto Nile wa Usalama.” Tukihitimisha kuimba kwetu kwa asubuhi Katika kipande cha wimbo ambacho ni bora zaidi, “Sudan kwa Misri.. na Misri kwa Sudan.”.. siku hizo nilipokuwa nikisali magharibi na Ishaa kwenye Kanisa la Bikira Maria kwenye pwani ya Mto wa Nile linalokudumu huko Khartoum na hii kwa sababu ya ushirikiano wangu kwa mafunzo ya kila wiki ya kambi ndani yake.. .. Siku zile ambazo ninazidaiwa na mapenzi yangu kwa nchi ya kuzaliwa kutokana na imani kwa athari yake na uwepo wake, na upanuzi wa athari hii hadi mbali zaidi ya vile wanawe wengi wanavyofikiria.
Labda jambo zuri zaidi ambalo Sudan ilitofautisha nayo siku hizi ni Kiwango cha tafauti za kiutamaduni na upanuzi wa kisanaa ikiwa ni pamoja na kuimba ,fasihi , sanaa za watu na makongamano ya kiutamaduni ambayo " ukumbi wa urafiki " uliyoyashuhudia na ambao uko mbele ya kisiwa cha " Toty " ambapo Mto Nile mweupe ulikutana na Nile ya buluu , ikijitayarisha kuzindua pamoja ili kufika mwisho ya safari huko Misri .. Msanii marehemu " Muhammed Wardi " alikuwa miongoni mwa wasanii maarufu zaidi wa uimbaji wa Sudan wa kinubi kwani anazingatiwa Mmoja wa watu wasudan wa kasikazini ambao ni karibu nasi zaidi kwa upande wa Utamaduni pamoja na mila na desturi . Inawezekana Kiwango cha kuimba kwake ambacho kimefikia takribani nyimbo 250 ، kilikuwa juu zaidi kulingana na wasanii wasudan wa kizazi sawa sawa . " Muhammed wardi " aliwaongoza wasanii kadha kutoka Sudan , Misri , Ethiopia , Uganda na Kenya ambapo nyimbo zake zimekuwa desturi na njia zinazoigiwa . Vilevile , Msanii Mmisri mzuri mno Muhammed Mounir aliimba wimbo wake " Katikati ya Duara " ambao mwenye maneno na Toni nzuri mno . Lingine nililolikumbuka pia wakati wa safari yangu pamoja na chombo cha wakati ni ushikamano wa harakati ya raia wa Sudan mnamo kipindi cha sitini dhidi ya Jenerali "Ibrahim Abud " kupitia wimbo maarufu wa " Wardi " ambao ulitungwa na Mshairi msudan Bw. " Muhammed El-Fetury " na maneno yake yanasema " Asubuhi imechomoza .. Gereza wala mlinzi hawapo .. hapo Alfajiri kama ina mabawa mawili yanaruka .. na hapo huzuni iliyochora macho na iliyotukaza .. na iliyotutawanya kwa kila bonde ikawa furaha inayotolewa mioyoni ewe nchi yangu " na wimbo huo ulielezea pendeleo za kitaifa wa " Wardi " zenye upendeleo wa kushoto haba ambazo zilimfanyia miongoni mwa wale wa kwanza waliopinga utawala wa " ukombozi " wenye msimamo wa kulia wa ikhwani ambapo alihamia Misri mnamo mwaka 1989 anapokaa kama mzalendo kwa nchi , msimamo na sanaa yake na Misri ilimkaribisha vizuri ambapo alipata heshima katika pande mbili wa watu na kirasmi . Na Ardhi ya Misri ilikuwa yenye ukarimu kwake kama hali ilivyo katika nchi yake ambapo aliheshimiwa na Waziri Mmisri wa Vyombo vya Habari mnamo 2008 "
Kwako raia wanasogea mbele , wanajikusanaya pamoja na kujiandaa wakasema acha ، acha na hujaacha badio
Acha buibui zetu na kanzu zetu, Qurani zetu, misikiti na makanisa yetu, urithi wa mababu zetu , akili za watoto wetu ” Kwa maneno haya, “Mohamed Wardi” alikabiliana na utawala wa khwan wa itikadi kali, akiita roho wa taifa la Sudan ili kuwakabili wale waliotaka kuunyang'anya Uraia wake, athari yake ya kiutamaduni na urithi wa ustaarabu wake .. kama kwamba Anaimba kwa sauti ya wanadamu wote dhidi ya wale wanaouza nchi na kununua kwa bei ndogo dini ya Mwenyezi Mungu.
Muhammad Wardi aliaga Dunia mnamo 2012 baada ya maisha yalidumu miaka themanini iliyojaa kwa upendo wa nchi , sanaa na maisha, vilevile , alituachia urithi wa kumbukumbu nzuri, kama vile ardhi yake na kama Nile uliokusanyika kusini mwa bonde pamoja na kaskazini .
chombo cha wakati kilinirudisha nikajikuta kutamka Ewe eneo letu .. Ewe zuri zaidi wacha mioyo yetu ipeperuke..na utuhamishe kati ya kipepeo anayependeza...kati ya Zeinat na Abeer.”..na nikarudi uhalisia, nikimuombea " Waridi" Dua kwa Rehema, nikiwashukuru wale walioamua kumheshimu.