Siku ya Kimataifa ya Kidemokrasia

Siku ya Kimataifa ya Kidemokrasia

Imetafsiriwa na/ Mahmoud Ragab
Imehaririwa na kukaguliwa na/ Fatma Elsayed

Mali  ya demokrasia halisi sio tu katika kura za uchaguzi, lakini katika ufahamu wa watu.

Tarehe 15 Septemba ni Siku ya Kimataifa ya kidemokrasia, kama  Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa lilivyoidhinishwa mwaka 2007. Na siku hii ni fursa ya kuonyesha  hali ya demokrasia duniani, kama mazingira muhimu ya kulinda haki za binadamu, na kipengele kimsingi  cha kuhakikisha amani na maendeleo endelevu.

Mratibu wa lugha ya kiswahili/ Tasneem Hamdy