Jenerali Mohamed Zaki, Waziri wa Ulinzi wa Misri

Jenerali Mohamed Zaki, Waziri wa Ulinzi wa Misri

Imefasiriwa na /  Fatma Mahmoud

Jenerali Muhammad Ahmed Zaki alizaliwa mnamo  Januari 29, 1956. Alihitimu kutoka Kitivo cha Kijeshi  mnamo Aprili mosi mwakani 1977 ,  katika kundi la wanajeshi la  69.

 Vyeti vya kijeshi

- Shahada ya kwanza  katika Sayansi za kijeshi.

- Alimaliza  awamu  zote za maandalizi  ya askari wa kubeba silaha.

- Alimaliza awamu zote za kifundi za  timu ya parachuti .

- Kozi  kuu ya  wanajeshi wa Vita.

- Kozi ya Chuo  kikuu cha Vita.

- Kozi  kuu ya  viongozi wakubwa 

- Vyeo muhimu vya uongozi mkuu.

Alijiunga katika kazi zote za uongozi katika vitengo vya  timu ya parachuti hadi akateuliwa kuwa kiongozi wa vitengo vya timu ya parachuti.

- Kamanda wa Walinzi wa Jamhuri.

- Medali na  Nishani 

- Medali ya Juni 30, 2013.

-Medali ya Januari 25, 2011.

- Medali ya Mafunzo ya  kiwango cha Kwanza.

- Medali ya jukumu la  Kijeshi.

- Medali ya huduma  ya muda  mrefu na ya kuwa  mfano mzuri.

- Medali  ya Huduma bora.

Chanzo:

Tovuti ya Wizara ya Ulinzi ya Kimisri.