Dar Al-Iftaa la Misri ni Mojawapo ya Nguzo za Taasisi za Kidini Huko Nchini Misri

Dar Al-Iftaa la Misri ni Mojawapo ya Nguzo za Taasisi za Kidini Huko Nchini Misri

Imetafsiriwa na/ Ahmed Magdy 
Imehaririwa na/ Nourhan Khaled 

kwa mashirika yake manne makuu, Al-Azhar Al-Sherif, Chuo Kikuu cha Al-Azhar, Wizara ya Al-Awkaf, Dar Al-Iftaa la Misri, linalofanya jukumu na kubwa katika kutoa fatwa  kwa watu wote Katika kutoa mashauri ya taasisi za mahakama huko nchini Misri. 

Dar Al-Iftaa la Misri …  Mojawapo ya Nguzo za Taasisi ya Kidini Nhini Misri .  
 Dar Al-Iftaa la Misri  linazingatiwa kama ni mojawapo ya ofisi za mwanzo kwenye ulimwengu wa kiislamu ; ambapo lilianzishwa mnamo mwaka 1895 kwa amri kuu iliyotolewa na Gavana wa Misri Mhe. Abbas Helmy , iliyoelekezwa kwa Wizara ya haki Novemba 21, 1895 chini ya namba (10) , na ilifikiwa kwa Wizara hiyo husika tarehe 7 mfungo  wa  tisa  1313 hijiria chini ya namba (55)  
 
 Na tangu kuanzishwa kwake  hadi sasa, Dar Al-Iftaa la Misri lina hadhi yake kuu kati ya taasisi za kiislamu zinazowakilisha dini iliyo haki , na linazuka kiwango cha utafiti wa sheria ya kiislamu  kati ya wanaoushighulikia katika nchi zote za ulimwengu wa kiislamu, na kwa hiyo linafanya jukumu lake la kihistoria na kiustaarabu la kuwaelemisha waislamu wa kisasa sheria za dini yao na kuelezea njia kuelekea haki , na kuondoa jambo linalowakanganyika katika shughuli zao za kidini na za kidunia ; ikifichua sheria za Uislamu kuhusu jambo lolote jipya ndani ya maisha yetu ya kisasa. 

 Dar Al-Iftaa la Misri ni mojawapo ya nguzo za taasisi za kidini huko nchini Misri,  kwa mashirika yake manne makuu, Al-Azhar Al-Sherif, Chuo Kikuu cha Al-Azhar, Wizara ya Al-Awkaf, Dar Al-Iftaa la Misri, linalofanya jukumu na kubwa katika kutoa fatwa za  kutoa fatwa kwa watu wote Katika kutoa mashauri ya taasisi za mahakama huko nchini Misri. 

Nyumba hiyo ilianza kama idara ya Wizara ya Sheria ya Misri. Pale ambapo hukumu za kifo na hukumu nyinginezo zinapelekwa kwa Mufti wa Misri ili kujua maoni ya Baraza la Fatwa juu ya ushauri wa kutoa hukumu ya kifo na hukumu nyinginezo za kimahakama, lakini jukumu lake halikuishia hapo na halikuishia tu. Mipaka ya eneo la Jamhuri ya Kiarabu ya Misri, lakini jukumu lake la upainia lilienea katika ulimwengu wa Kiislamu
 
 Na mchango huo wa kimkakati uliundwa na uzoefu wake wa kisayansi na njia yake sawa katika kufahamu hukumu za kisheria zinazochukuliwa kutoka sheria inayorithiwa kwa kufanya uwiano kati ya mtazamo wa kisheria na haja ya kijamii ; na hiyo ili kukuza jambo la kutoa fatwa  
 
 Kazi za Dar Al-Iftaa la Misri:

ya Kwanza: kazi za kidini za Dar Al-Iftaa la Misri: