Kumbukumbu ya Mauaji ya Sabra na Shatila

Kumbukumbu ya Mauaji ya Sabra na Shatila

Imetafsiriwa na/ Gergas Nagy
Imehaririwa na/ Fatma El-Sayed

Kambi za Sabra na Shatila kwa wakimbizi za Palestina nchini Lebanon, ni mojawapo ya mauaji ya kikatili zaidi katika historia ya wanadamu, ambapo jeshi la uvamizi halikupoteza hata risasi moja, kwa sababu lilifanywa kwa silaha nyeupe, idadi ya vifo ilifikia takriban mashahidi elfu 4, wakiwa ni pamoja na wanaume, watoto, wanawake na wazee wa raia wasio na silaha.

Kwa roho zao kutoka kwetu amani yote.

Mratibu wa lugha ya kiswahili/ Tasneem Hamdy